Outlet metrics
Global
#833552
Tanzania, United Republic of
#1217
Category
N/A
Articles
-
6 days ago |
michuzi.co.tz | Ahmad Michuzi
Na Diana Byera,Missenyi.
-
6 days ago |
michuzi.co.tz | Ahmad Michuzi
Na Mwandishi wetu WANANCHI wa kata nane za Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro wamesifu uwakilishi na utendaji Kazi wa Mbunge wa Jimbo lao Dkt Charles Kimei kwa kazi nzuri za miradi ya Maendeleo katika kata zao. Miongoni mwa kata zilizotoa pongezi hizo ni pamoja na kata za Marangu Mashariki, Njiapanda, Kahe Mashariki, Kirua Vunjo Kusini, Kilema Kusini, Kirua Vunjo Mashariki, Makuyuni na Kirua Vunjo Magharibi.
-
6 days ago |
michuzi.co.tz | Ahmad Michuzi
*Asisitiza hawawezi kukubali mtu au kikundi cha watu kuvuruga amani iliyopo Na Said Mwishehe,TaboraMAKAMU Menyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema kuwa ni vema wananchi wakafahamu kwamba katika amani ndani yake kuna haki ,hivyo wanahubiri amani kwasababu ndani ya amani inapatikana haki.
-
6 days ago |
michuzi.co.tz | Ahmad Michuzi
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira Na Mariam Mkamba, TaboraMAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amewaahidi wakulima wa tambaku mkoani Tabora kuwa fedha zao za ruzuku Sh.bilioni 14 wanazodai kwa muda mrefu watallpwa mwishoni kwa Aprili mwaka huu.
-
6 days ago |
michuzi.co.tz | Ahmad Michuzi
Na Mariam Mkamba, TaboraMAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amewaahidi wakulima wa tambaku mkoani Tabora kuwa fedha zao za ruzuku Sh.bilioni 13 wanazodai kwa muda mrefu watalipwa mwishoni mwa Aprili mwaka huu.
Contact details
No sites or socials found.
Try JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →