Outlet metrics
Global
#833552
Tanzania, United Republic of
#1217
Category
N/A
Articles
-
1 week ago |
michuzi.co.tz | Ahmad Michuzi
Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kaskazini, Mhandisi Lorivii Long’idu,akizungumza wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wasambazaji na wauzaji wa gesi ya kupikia (LPG) Jiji la Arusha. .... Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) – Kanda ya Kaskazini, leo tarehe 19 Juni 2025, imeendesha semina ya kuwajengea uwezo wasambazaji na wauzaji wa gesi ya kupikia (LPG) katika Jiji la Arusha.
-
1 week ago |
michuzi.co.tz | Ahmad Michuzi
Umoja wa Ulaya (EU) umekabidhi rasmi vifaa vya kisasa vya maabara kwa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) katika hafla iliyofanyika katika Makao Makuu ya TBS, Dar es Salaam. Hafla hii ni sehemu ya utekelezaji wa Mradi wa QUALITAN unaogharimu jumla ya EUR milioni 7, ikiwa ni sehemu ya mradi mpana wa “BEGIN” wenye thamani ya EUR milioni 23 unaolenga kuboresha mazingira ya biashara, kukuza uchumi na kuhimiza ubunifu nchini Tanzania.
-
1 week ago |
michuzi.co.tz | Ahmad Michuzi
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) ya Tanzania Bara, Mamlaka ya Udhibiti wa Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar (ZPRA) na Mamlaka ya Petroli Uganda (PAU) zimesaini Hati ya Makubaliano inayolenga kuimarisha shughuli za utafutaji, uendelezaji na uzalishaji wa mafuta na gesi asilia.
-
1 week ago |
michuzi.co.tz | Ahmad Michuzi
Na Philomena Mbirika, DodomaKufuatia maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma yanayoendelea katika Viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma, Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imetumia fursa hiyo kutangaza vivutio vya utalii kwa wananchi pamoja na wadau wa utalii waliotembelea banda NCAA lililopo kwenye Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii.
-
1 week ago |
michuzi.co.tz | Ahmad Michuzi
Ruhuwiko-Songea. Diwani wa Kata ya Ruhuwiko Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma Wilbert Mahundi, amesema hakuna diwani anaeweza kumaliza kero au changamoto zote za kata kwa wakati mmoja isipokuwa kwa awamu tofauti tofauti kulingana na vipaumbele na bajeti husika. Akisoma utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia 2020-2025 mbele ya wanachama na wananchi wa Kata hiyo leo Juni 19, 2025, amesema kwa kiasi kikubwa huduma mbalimbali muhimu za kijamii zimewafikia wananchi.
Contact details
No sites or socials found.
Try JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →