
Ibrahim Mussa
Multimedia Journalist at Freelance
Multimedia Journalist. Past @boomlive_in @indiatoday @indianexpress @kashmirobserver @kashmirmonitor Documentary film-maker, 📸 ⚽️
Articles
-
2 weeks ago |
mwanaspoti.co.tz | Ibrahim Mussa
Muktasari:Bondia huyo mwenye urefu wa futi tano kwenda juu anacheza kwenye uzani wa middle katika ngumi za kulipwa ambao umekuwa ukitajwa ni mmoja kati uzani wenye pesa ndefu kwenye soko la mchezo huo ulimwenguni kutokana ushindani na ubora wa mabondia wake. RICHARD Mtangi ni mmoja kati ya mabondia wenye uwezo mkubwa wa kushinda mapambano yao kwa ushindi wa uhakika wa knockout katika ngumi za kulipwa.
-
3 weeks ago |
mwanaspoti.co.tz | Ibrahim Mussa
Muktasari:Mbali hao lakini upande wa tuzo ya mwamuzi bora wa kike kwa mwaka 2023 ilienda pia katika mchezo wa ngumi za kulipwa kwa mwamuzi Pendo Njau kushinda tuzo hiyo. WIKIENDI iliyopita wadau wa michezo nchini walishuhudia msimu wa tatu wa tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT), kwa mwaka 2024 ambapo wanamichezo mbalimbali walifanikiwa kushinda.
-
1 month ago |
mwanaspoti.co.tz | Ibrahim Mussa
Muktasari:Makundi hayo yalizalisha vijana wengi hodari akiwemo msanii wa Bongo Fleva, Msami aliyeimba Step by Step na ule wa Mabaya, huku mwingine akiwa Papaa Msai ambao wote kwa sasa wanaishi kupitia kuimba na kucheza muziki. MIAKA ya 2000 mwanzoni, vijana wa mitaa ya Temeke, Dar es Salaam walisumbua katika makundi ya kudansi kwenye matamasha waliyokuwa wakiyaandaa kupitia makundi.
-
1 month ago |
mwanaspoti.co.tz | Ibrahim Mussa
Muktasari:Maono Ally Daudi ambaye ni mmoja kati vijana waliowahi kujaribu katika uvuvi kama ilivyo desturi ya vijana wengi wa Bagamoyo, akili na mapenzi yake yalikuwa katika mchezo wa ngumi za kulipwa.
-
1 month ago |
mwanaspoti.co.tz | Ibrahim Mussa
Muktasari:Katika pambano hilo ambalo limeandaliwa na promosheni ya Mafia Boxing, litawakutanisha mabondia kama Twaha Kiduku, Idd Pialali, Dullah Mbabe, Loren Japhet, Tanzania one, Fadhili Majiha huku Mchanja Yohana akitararajia kutetea mkanda wake wa ubingwa wa WBO Global dhidi ya bondia kutoka Namibia.
Try JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →X (formerly Twitter)
- Followers
- 278
- Tweets
- 879
- DMs Open
- Yes

RT @BloombergTV: India’s military confirmed for the first time that it lost an unspecified number of fighter jets in clashes with Pakistan…

RT @AzaanJavaid: Loud bangs being heard in #Srinagar #Kashmir again.

RT @AzaanJavaid: Loud bangs heard in southern Kashmir, Outskirts of Srinagar. Sirens, blackout continues #JammuAndKashmir