
Articles
-
4 days ago |
dw.com | Rashid Chilumba
Viongozi wa nchi 32 wanachama wa Jumuiya ya NATO wanaendelea kuwasili mjini The Hague, Uholanzi kwa mkutano huo wa kilele wa siku mbili utakaoanza leo Jumanne na kuhitimishwa kesho Jumatano. Washirika hao wa mfungamano huo mkubwa wa kijeshi wa mataifa ya magharibi ulioundwa mwaka 1949 kwa jukumu la ulinzi wa pamoja, wanatazamiwa kuafikiana kuhusu lengo jipya la matumizi ya sekta ya ulinzi baada ya shinikizo kutoka Marekani.
-
1 week ago |
dw.com | Rashid Chilumba
20.06.202520 Juni 2025Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amesema shambulizi la Urusi kwenye moja la ghorofa katikati mwa mji mkuu Kyiv limetoa ishara kwamba ni muhimu kwa ulimwengu kuongeza shinikizo kwa Moscow kuridhia usitishaji mapigano. https://p.dw.com/p/4wDE9Shambulizi hilo la droni na kombora lililotokea siku ya Jumanne, linatajwa kuwa ndiyo baya zaidi nchini Ukraine tangu kuanza kwa mwaka huu.
-
1 week ago |
dw.com | Rashid Chilumba
20.06.202520 Juni 2025Mawaziri wa Mambo ya Kigeni wa nchi tatu za Ulaya wanakutana na mwenzao wa Iran hii leo mjini Geneva wakilenga kurejesha njia ya kidiplomasia kuhusiana na mradi tata wa nyuklia wa Iranhttps://p.dw.com/p/4wDEAMawaziri hao Johann Wadephul wa Ujerumani, Jean-Noël Barrot wa Ufaransa na David Lammy wa Uingereza watakutana na Abbas Araghchi wa Iran wakiwa pamoja na Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya Kaja Kallas.
-
1 week ago |
dw.com | Rashid Chilumba
20.06.202520 Juni 2025Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imeonesha ukatili dhidi ya watoto kwenye maeneo ya mizozo na vita uliongezeka na kufikia "viwango visivyo mfano" mwaka uliopita. https://p.dw.com/p/4wDE8Ripoti hiyo iliyochapishwa jana inasema mwaka 2024 visa vya ukatili watoto kwenye maeneo hayo vilipanda kwa asilimia 25 ikilinganishwa na mwaka 2023.
-
1 week ago |
dw.com | Rashid Chilumba
20.06.202520 Juni 2025Mahakama moja nchini Kenya imewahukumu kifungo cha miaka 30 jela wanaume wawili waliotiwa hatiani kwa kufanikisha shambulizi la kigaidi la mwaka 2019. https://p.dw.com/p/4wDE7Shambulizi hilo liliilenga hoteli moja ya fahari kwenye mji mkuu Nairobi na kusababisha vifo vya watu 21.
Try JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →