Rashid Chilumba's profile photo

Rashid Chilumba

Broadcast Journalist at Deutsche Welle (DW)

Featured in: Favicon dw.com

Articles

  • 1 week ago | dw.com | Rashid Chilumba

    Tangazo kuhusu kufanyika kwa mazungumzo yajayo mjini Roma, Italia limetolewa na televisheni ya taifa ya Iran jana jioni. Taarifa imearifu kwamba Oman iliyokuwa mwenyeji wa mkutano wa mwanzo itaendelea kuwa msuluhishi katika mazungumzo hayo ya awamu ya pili siku ya Jumamosi. Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Oman, ndiye alikuwa kiungo wa mashauriano ya awali kati ya Washington na Tehran mjini Muscat wikendi iliyopita.

  • 1 week ago | dw.com | Rashid Chilumba

    17.04.202517 Aprili 2025Rais Xi Jinping wa China amewasili Cambodia leo, kituo cha mwisho cha ziara yake ya kuyatembelea mataifa matatu ya kusini mashariki mwa Asia. https://p.dw.com/p/4tEXQXi anabeba ujumbe wa ushirikiano wa karibu na kulinda maslahi ya pamoja katika ziara hiyo.

  • 1 week ago | dw.com | Rashid Chilumba

    17.04.202517 Aprili 2025Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani Marco Rubio hii leo atakutana na viongozi wa Ufaransa mjini Paris kujadili hatma ya vita vya Ukraine. https://p.dw.com/p/4tEXPRubio pamoja na mjumbe maalumu wa Rais Donald Trump, Steve Witkoff pia watajadili wasiwasi kuhusu mradi wa nyuklia wa Urusi na mzozo wa Mashariki ya Kati watakapokutana na Rais Emmanuel Macron na waziri wake wa mambo ya nje Jean-Noel Barrot.

  • 1 week ago | dw.com | Rashid Chilumba

    17.04.202517 Aprili 2025Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu, Amnesty International limesema vikosi vya usalama vya Msumbiji viliendesha operesheni ya ukandamizaji kwa karibu miezi mitatu baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka janahttps://p.dw.com/p/4tEXOKatika taarifa yake iliyotolewa jana jioni. Amnesty International imewanukuu watetezi wa haki za binadamu nchini Msumbiji wanaodai kuwa wimbi hilo la maandamano na ukandamizaji wa polisi lilisababisha vifo vya zaidi ya watu 300.

  • 1 week ago | dw.com | Rashid Chilumba

    17.04.202517 Aprili 2025Mabingwa watetezi wa kombe la Klabu Bingwa barani Ulaya, Champions League, klabu ya soka ya Real Madrid imeyaaga mashindano ya mwaka huu baada ya kukubali kichapo wakiwa nyumbani cha bao 2-1 kutoka wa Arsenal.