
Articles
-
1 week ago |
dw.com | Rashid Chilumba
31.05.202531 Mei 2025Mawaziri wa Mambo ya Kigeni wa nchi 6 za kiarabu wameifuta ziara ya kuutembelea mji wa Ramallah yaliko makao makuu ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina baada ya kile walichokiita "zuio kutoka kwa Israel"..
-
1 week ago |
dw.com | Rashid Chilumba
31.05.202531 Mei 2025Shirika la Kimataifa la Kudhibiti Nguvu za Atomiki, IAEA limesema leo urutubishaji madini ya urani wa kiwango kinachoweza kutumika kuunda silaha umeongezeka nchini Iran. https://p.dw.com/p/4vENiKwenye ripoti yake kwa nchi wanachama wa shirika hilo iliyotolewa leo Jumamosi, IAEA imesema Iran hivi sasa inazo kilo 409 za madini ya urani yaliyorutubishwa kwa asilimia 60. Kiwango hicho kimepanda kutoka asilimia 49 za wakati wa uchunguzi wa mwisho uliofanywa mwezi Februari.
-
1 week ago |
dw.com | Rashid Chilumba
31.05.202531 Mei 2025Umoja wa Ulaya umekosea vikali uamuzi wa nyongeza ya ushuru kwa bidhaa za chuma iliyotangazwa na Rais Donald Trump wa Marekani. https://p.dw.com/p/4vENkMsemaji wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya amesema kanda hiyo imefadhaishwa na uamuzi wa Marekani wa kupandisha ushuru wa chuma kinachoagizwa njea kutoka asilimia 25 hadi 50. Afisa huyo amesema hatua hiyo inaongeza mashaka kwenye uchumi wa dunia na kupandisha gharama kwa biashara na wanunuzi wa pande zote mbili.
-
1 week ago |
dw.com | Rashid Chilumba
31.05.202531 Mei 2025Klabu mbili za soka za Paris Saint-Germain na Inter Milan zinakwaana leo usiku katika mchezo wa Fainali ya Klabu Bingwa barani Ulaya, Champions Leaguehttps://p.dw.com/p/4vENxMchezo wa leo utakaopigwa kwenye dimba na Allianz Arena mjini Munich kusini mwa Ujerumani.ndio utaamua timu itakayolibeba kombe la michuano hiyo ya fahari na mikubwa zaidi kwa klabu za soka barani Ulaya.
-
1 week ago |
dw.com | Rashid Chilumba
JangaNigeria31.05.202531 Mei 2025Zoezi kubwa la uokoaji linaendelea nchini Nigeria kuwatafuta watu kwenye maeneo yaliyokumbwa na mafuriko ya kutisha ambayo hadi sasa yamesababisha vifo vya watu 151. https://p.dw.com/p/4vDphHayo yameelezwa na Rais wa nchi hiyo Bola Tinubu ambaye pia ametahadharisha kuwa idadi ya vifo huenda ikaongezeka.
Try JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →