HabariLeo

HabariLeo

HABARILEO is a daily newspaper published in Kiswahili by the Government Newspapers Company (TSN). It serves as a sister publication to DAILY NEWS.

National
English, Swahili
Newspaper

Outlet metrics

Domain Authority
46
Ranking

Global

#5243546

Canada

#432483

News and Media

#10087

Traffic sources
Monthly visitors

Articles

  • 1 week ago | habarileo.co.tz | Rahimu Fadhili

    LINDI: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuvuna wanachama wapya katika mkoa wa Lindi ndani ya wilaya mbili ambao wamelezwa kutoka katika Chama cha Wananchi (CUF). Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla wakati akizungumza na wananchi katika Wilaya ya Kilwa Aprili 10 na Liwale Aprili 11,2025 mkoani Lindi aliwapokea wanachama hao wapya waliorudisha kadi na kujiunga na CCM.

  • 1 week ago | habarileo.co.tz | Rahimu Fadhili

    LINDI: KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema katika Wilaya ya Liwale mkoani Lindi wananchi wanachangamoto kubwa ya barabara, wanyamapori pamoja na umeme unaosababisha kukwama kwa shughuli za kiuchumi katika wilaya hiyo.

  • 1 week ago | habarileo.co.tz | Rahimu Fadhili

    CHAMA cha Makocha wa Riadha Tanzania (TACA) kimeandaa kozi ya awali kwa walimu wa mchezo huo itakayofanyika kuanzia Aprili 22- 27, Dar es Salaam. Akizungumzia kozi hiyo, Charles Msengi Mmbaga ambaye ni Katibu Mkuu Chama Cha Makocha wa Riadha Tanzania(TACA) amesema wanatarajia kuwa na makocha 400 kuutoka Kanda ya Mashariki na maeneo mengine ya Tanzania Bara na Zanzibar.

  • 1 week ago | habarileo.co.tz | Rahimu Fadhili

    JUKWAA la Ushirika la Mkoa wa Shinyanga limewakutanisha vyama vya ushirika 299 huku vikishauriwa kutumia fursa za mazao yaliyopo kuanzisha viwanda vidogo vidogo. Jukwaa hilo limefanyika leo ambapo mwenyekiti wa jukwaa kwa mwaka huu ni Emanuel Nyambi kutoka Chama Kikuu cha Ushirika Wilaya Kahama (KACU) huku akieleza jukwaa lipo kisheria.. “Jukwaa hili limetukutanisha kueleza changamoto zinazotukabili na zinazoukabili ushirhirika ili kuzijadili kwa pamoja nakupata suluhisho,” amesema Nyambi.

  • 1 week ago | habarileo.co.tz | Rahimu Fadhili

    DAR ES SALAAM: MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umetoa mapendekezo matatu muhimu kuhusu umuhimu wa kuafikiwa kwa muafaka wa kitaifa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ili kuweka mazingira bora ya uchaguzi huru na wa haki. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mratibu wa Kitaifa wa THRDC, Wakili Onesmo Olengurumwa, amesema muafaka huo utasaidia kuondoa hofu na sintofahamu zinazojitokeza katika kipindi cha uchaguzi.

HabariLeo journalists

Try JournoFinder For Free

Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.

Start Your 7-Day Free Trial →

Traffic locations