HabariLeo
HABARILEO is a daily newspaper published in Kiswahili by the Government Newspapers Company (TSN). It serves as a sister publication to DAILY NEWS.
Outlet metrics
Global
#5243546
Canada
#432483
News and Media
#10087
Articles
-
1 day ago |
habarileo.co.tz | Rahimu Fadhili
DODOMA: SERIKALI imekusudia kuboresha miundombinu ya uzalishaji mbegu bora za kilimo hususan mahindi, alizeti, maharagwe na mimea ya kunde. Vilevile itaboresha miundombinu ya uzalishaji viumbe maji ili kupata vifaranga na chakula cha samaki chenye ubora stahiki, upunguzaji upotevu wa mazao ya samaki na uvuvi wa bahari kuu pamoja na kuwezesha kaya duni 260,000 kwa miaka sita mfululizo.
-
1 day ago |
habarileo.co.tz | Rahimu Fadhili
KIGOMA: BARAZA la Madiwani na Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu limemshukuru na kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi nzuri ya kuleta fedha za utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo katika halmashauri hiyo. Kutokana na hilo, baraza hilo limeamua kuchangia Sh milioni 1 kwa ajili ya Rais Samia kuchukua fomu ya kugombea urais. Aidha Sh 577,000 imechangwa kwa ajili ya Mbunge wa Jimbo la Kasulu Vijijini, Vuma Olle kuchukua fomu ya kugombea ubunge.
-
2 days ago |
habarileo.co.tz | Rahimu Fadhili
DODOMA: NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema serikali inaendelea kutekeleza mradi wa kupeleka umeme kwenye maeneo ya kimkakati nchini ikiwemo maeneo ya migodi midogo, maeneo ya uvuvi, viwanda na yanayochagiza shughuli za kiuchumi. Kapinga ameyasema hayo leo Mei 14, 2025 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la la Mbunge wa Mwibara, Charles Kaijage aliyetaka kufahamu mkakati wa serikali kupeleka umeme maeneo ya uvuvi ili kukuza uchumi wa wananchi wa maeneo hayo.
-
3 days ago |
habarileo.co.tz | Rahimu Fadhili
RUVUMA: TAFITI za viashiria vya malaria nchini zinaonesha ugonjwa huo umepungua kutoka asilimia 14.8 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 8.1 mwaka 2022. Upungufu huo ni hatua kubwa zilizofanywa na serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri wa Afya, Jenista Mhagama anasema.
-
4 days ago |
habarileo.co.tz | Rahimu Fadhili
KIGOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha Sh milioni 50 kuchangia ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Maria Mtakatifu Mwana wa Mungu Kibwigwa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma ambapo kiasi cha Sh milioni 250.2 kilichangwa katika harambee hiyo. Akitangaza matokeo ya harambee hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli (TRC), Masanja Kadogoda ambaye mgeni rasmi alichangia Sh milioni 20.
HabariLeo journalists
Contact details
Address
123 Example Street
City, Country 12345
Phone
+1 (555) 123-4567
Email Patterns
Website
http://habarileo.co.tzTry JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →