Articles

  • 4 days ago | taifaleo.nation.co.ke | David Mwere |Benson Matheka

    Makala Mikakati ya serikali kutumia machifu, wazee wa vijiji kuipiga jeki mashinani Na DAVID MWERE, BENSON MATHEKA April 20th, 2025 Kusoma ni dakika: 2 SERIKALI ya Kenya Kwanza imejipanga kutumia wazee wa vijiji kama sehemu ya mikakati yake ya kufufua umaarufu wake kuanzia vijijini. Hii inafuatia hatua yake ya kuingiza wazee wa vijiji katika mfumo rasmi wa utawala kupitia Rasimu ya Sera ya Utawala wa Vijiji.

  • 4 days ago | taifaleo.nation.co.ke | David Mwere |Benson Matheka

    Makala Mikakati ya kutumia machifu, wazee wa vijiji kuipiga jeki serikali mashinani Na DAVID MWERE, BENSON MATHEKA April 20th, 2025 Kusoma ni dakika: 2 SERIKALI ya Kenya Kwanza imejipanga kutumia wazee wa vijiji kama sehemu ya mikakati yake ya kufufua umaarufu wake kuanzia vijijini. Hii inafuatia hatua yake ya kuingiza wazee wa vijiji katika mfumo rasmi wa utawala kupitia Rasimu ya Sera ya Utawala wa Vijiji.

  • 6 days ago | taifaleo.nation.co.ke | Justus Javan Ochieng |Benson Matheka

    RAIS William Ruto ameanza harakati za mapema kujiandaa kwa uchaguzi mkuu wa 2027, akionekana kutegemea mawaziri wanasiasa kumpigia debe huku akikabiliwa na changamoto tele. Mawaziri hawa, wakiwemo wa chama cha ODM chini ya Serikali Jumuishi, sasa wamechukua nafasi muhimu katika siasa za kitaifa, wakiongoza mikutano ya hadhara, vikao vya mashauriano na hata ziara za kukagua miradi ambazo zinatumika kama jukwaa la kuuza ajenda ya Kenya Kwanza na kumpigia debe Rais Ruto.

  • 2 weeks ago | taifaleo.nation.co.ke | Moses Nyamori |Benson Matheka

    Vendors can use your data to provide services. Declining a vendor can stop them from using the data you shared. Exponential Interactive, Inc d/b/a VDX.tvCookie duration: 90 (days). Data collected and processed: IP addresses, Device identifiers, Probabilistic identifiers, Browsing and interaction data, Non-precise location data, Users’ profiles, Privacy choicesmoreCookie duration resets each session. View details | Privacy policyConsentRoq.ad GmbHCookie duration: 365 (days).

  • 1 month ago | taifaleo.nation.co.ke | Pius Maundu |Benson Matheka

    Habari za Kaunti Wavinya motoni MCAs wakitishia kumtimua ofisini Na  PIUS MAUNDU, BENSON MATHEKA March 22nd, 2025 Kusoma ni dakika: 2 BAADHI ya madiwani wa Kaunti ya Machakos wametishia kumtimua Gavana wa Machakos, Wavinya Ndeti, kufuatia hatua ya wenzao wanaomuunga mkono gavana huyo ya kuanzisha mchakato wa kumng’oa Spika wa Bunge la Kaunti hiyo, Anna Kiusya, hali ambayo imeongeza joto la kisiasa katika kaunti hiyo.

Contact details

Socials & Sites

Try JournoFinder For Free

Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.

Start Your 7-Day Free Trial →