
Justus Javan Ochieng
Journalist
Articles
-
6 days ago |
taifaleo.nation.co.ke | Justus Javan Ochieng |Benson Matheka
RAIS William Ruto ameanza harakati za mapema kujiandaa kwa uchaguzi mkuu wa 2027, akionekana kutegemea mawaziri wanasiasa kumpigia debe huku akikabiliwa na changamoto tele. Mawaziri hawa, wakiwemo wa chama cha ODM chini ya Serikali Jumuishi, sasa wamechukua nafasi muhimu katika siasa za kitaifa, wakiongoza mikutano ya hadhara, vikao vya mashauriano na hata ziara za kukagua miradi ambazo zinatumika kama jukwaa la kuuza ajenda ya Kenya Kwanza na kumpigia debe Rais Ruto.
-
6 days ago |
taifaleo.nation.co.ke | Justus Javan Ochieng
Habari Orengo motoni kwa kukosoa Raila Na JUSTUS OCHIENG April 18th, 2025 Kusoma ni dakika: 2 UHUSIANO baridi wa kisiasa kati ya kiongozi wa ODM Raila Odinga na Gavana wa Siaya James Orengo unazidi kuchacha, ukiibua kumbukumbu za mvutano wao uliotokana na siasa za mageuzi miaka ya 1990.
-
1 week ago |
taifaleo.nation.co.ke | Justus Javan Ochieng
Jamvi La Siasa Visiki mbele ya Ruto kuelekea uchaguzi wa 2027 KUCHAGULIWA tena kwa Rais William Ruto katika uchaguzi mkuu wa 2027 kunakumbwa na visiki vingi vinavyohusisha misukosuko ya ndani ya muungano wa Kenya Kwanza, migawanyiko ya kisiasa, hali ngumu ya kiuchumi, uasi wa vijana, na mikakati ya upinzani kuungana kumpinga.
-
2 weeks ago |
taifaleo.nation.co.ke | Justus Javan Ochieng
KUMEZWA kwa Chama cha Amani National Congress (ANC) cha Mkuu wa Mawaziri, Musalia Mudavadi na Chama cha United Democratic Alliance (UDA) cha Rais William Ruto, kumeibua wasiwasi wa kisiasa huku baadhi ya wanachama wa zamani wa ANC wakihamia chama kipya. Baadhi ya washirika wa zamani wa Bw Mudavadi wamejitenga na UDA na sasa wamejiunga na chama kipya cha kisiasa, Umoja Summit Party (USP), ambacho kilifanya NDC yake Alhamisi, Aprili 3, 2025 ili kujipanga kwa mustakabali wa kisiasa.
-
3 weeks ago |
taifaleo.nation.co.ke | Justus Javan Ochieng
Kimataifa Sudan Kusini yakanusha madai ya Raila Na JUSTUS OCHIENG April 2nd, 2025 Kusoma ni dakika: 2 MZOZO wa kidiplomasia umeibuka kati ya Sudan Kusini na mjumbe maalum wa Kenya, Raila Odinga, baada ya serikali ya Rais Salva Kiir kukataa madai ya waziri mkuu huyo wa zamani kuhusu mgogoro wa kisiasa unaokumba nchi hiyo jirani.
Try JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →X (formerly Twitter)
- Followers
- 356
- Tweets
- 84
- DMs Open
- No

https://t.co/uPgIG98ree

https://t.co/HHPLNvh4FD

https://t.co/NZDTQZDzb8