-
3 days ago |
greenwavesmedia.co.tz | Hughes Dugilo
Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!Na, WAF-Iringa. Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amewataka wauguzi kote nchini kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na uzalendo, huku akisisitiza umuhimu wa kulinda miiko na maadili ya taaluma ya uuguzi ili kuhakikisha huduma bora kwa wananchi. Akizungumza leo Mei 12, 2025 katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Iringa, Dkt.
-
3 days ago |
greenwavesmedia.co.tz | Hughes Dugilo
Thank you for reading this post, don't forget to subscribe! Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Ofisi ya Msajili wa Hazina Sabato Kosuri akizungumza jambo na Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri TEF katika kikao hicho Bakari MachumuMkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Msajili wa Hazina, Sabato Kosuri (kulia), akizungumza jambo na Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Bakari Machumu (kushoto), katika kikaokazi kati ya PPRA na Jukwaa hilo, kilichoratibiwa na...
-
4 days ago |
greenwavesmedia.co.tz | Hughes Dugilo
Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!Mwenyekiti Taifa wa Chama cha Kijamii cha CCK David Daudi Mwaijolele ambaye pia amepitishwa kwa kupigiwa kura kugombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bara akizungumza katika mkutano Mkuu maalum wa Chama hicho ambao umefanyika tar 10/5/2025 jijini Dar es salaam.
-
6 days ago |
greenwavesmedia.co.tz | Hughes Dugilo
Thank you for reading this post, don't forget to subscribe! Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.
-
1 week ago |
greenwavesmedia.co.tz | Hughes Dugilo
Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!
-
1 week ago |
greenwavesmedia.co.tz | Hughes Dugilo
Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Mei 8, 2025 amehani msiba wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Cleopa David Msuya, Upanga Jijini Dar es Salaam. Akizungumza na wanafamilia pamoja na waombolezaji wengine, Mheshimiwa Majaliwa, amewasihi kuendelea kumuombea Mhe. Msuya na wawe wavumilivu katika kipindi hiki kigumu.
-
1 week ago |
greenwavesmedia.co.tz | Hughes Dugilo
Timu ya Wekundu wa Msimbazi Simba SC imeibuka mshindi kwa kuipigiza timu ya Pamba Jiji FC magoli 5-1 katika mchezo wa ligi kuu, uliopigwa katika Dimba la KMC Comlex jijini Dar es Salaam. Thank you for reading this post, don't forget to subscribe! Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
-
1 week ago |
greenwavesmedia.co.tz | Hughes Dugilo
Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwaongoza Wajumbe wa Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kusimama kimya kwa dakika moja, kwa ajili ya heshima ya Hayati Mzee David Cleopa Msuya, Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia aliwahi kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu na Mbunge wa CCM.
-
1 week ago |
greenwavesmedia.co.tz | Hughes Dugilo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimpokea mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Francisco Chapo mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Mei, 2025. Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Francisco Chapo akikagua Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Mei, 2025.
-
1 week ago |
greenwavesmedia.co.tz | Hughes Dugilo
Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!Kuanza Mwaka wa fedha 2025/26 kwa mafunzo. Na Mwandishi Wetu, JABWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, ameitambulisha rasmi Bungeni Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) na kubainisha kwamba katika kutekeleza majukumu yake kwa Mwaka wa Fedha 2025/26 itaanza kwa kutoa mafunzo kupitia Mfuko wa Mafunzo kwa Waandishi wa Habari.