
Iddi Ssessanga
Articles
-
1 week ago |
dw.com | Jennifer Holleis |Iddi Ssessanga
Huenda hali ikaonekana tulivu kwa kiasi fulani wiki hii, lakini mji mkuu wa Libya magharibi, Tripoli, bado uko katika hali ya machafuko. Mapema mwezi Mei, ghasia zililipuka kati ya makundi yenye silaha na vikosi vya serikali baada ya Waziri Mkuu Abdul Hamid Dbeibah kutoa amri ya kuvunjwa kwa makundi ya wanamgambo, yakiwemo yale yenye ushawishi mkubwa kama Kikosi cha Msaada wa Ustawi (SSA). Kiongozi wa SSA aliuawa.
-
1 month ago |
dw.com | Jennifer Holleis |Iddi Ssessanga
15.04.202515 Aprili 2025Mgogoro kati ya majenerali wawili umeitumbukiza Sudan katika vita ambavyo havionekani kumalizika hivi karibuni, huku raia wakikabiliwa na njaa, ghasia, na mamilioni wakitegemea msaada wa kibinadamu ili kuendelea kuishi. https://p.dw.com/p/4t8MAKatika kipindi cha miaka miwili iliyopita, Sudan imeingia kwenye hali mbaya sana baada ya vita kuzuka kati ya Jeshi la Kitaifa (SAF) na kundi la wanamgambo wa RSF.
-
Mar 10, 2025 |
dw.com | Sabine Kinkartz |Iddi Ssessanga
10.03.202510 Machi 2025Serikali ya Ujerumani inapanga kupitisha mpango mkubwa wa matumizi kwa ajili ya jeshi na miundombinu, ikiwa ni pamoja na kufuta kikwazo cha deni kwa matumizi ya ulinzi. Hatua hiyo inaweza kuwa suluhu ya kiuchumi? https://p.dw.com/p/4raRqSerikali ya Ujerumani, inayotazamiwa kuongozwa na vyama vya CDU/CSU na SPD, inapanga kutumia mabilioni ya euro kuboresha jeshi la Bundeswehr na miundombinu ya taifa.
-
Feb 23, 2025 |
dw.com | Sabine Kinkartz |Nina Werkhäuser |Iddi Ssessanga
Muungano wa kihafidhina wa CDU na CSU umefanikiwa kuwa chama chenye nguvu zaidi na kutoa Kansela ajaye. "Tumeshinda uchaguzi huu wa Bunge la Ujerumani 2025," alisema kwa furaha Friedrich Merz, mgombea wa ukansela wa CDU, usiku wa uchaguzi mjini Berlin. Hata hivyo, furaha haikuwa kubwa sana ndani ya CDU, kwani matokeo hayakufikia matarajio yao. Walitarajia "asilimia 30 au zaidi," lakini walipata takriban asilimia 28 ya kura, kiwango ambacho hakitoshi kuunda serikali peke yao.
-
Feb 20, 2025 |
dw.com | Christoph Strack |Iddi Ssessanga
23.02.202523 Februari 2025Kiongozi wa CDU, Friedrich Merz ana historia mchanganyiko katika siasa za Ujerumani - kuanzia kumkosoa Angela Merkel, kustafu na kuingia katika sekta ya biashara, hadi utata wa kukijongelea chama cha siasa kali cha AfD. https://p.dw.com/p/4qjQlFriedrich Merz, mwenyekiti wa chama cha kihafidhina cha Christian Democratic Union (CDU), anatarajiwa kuwa Kansela ajaye wa Ujerumani kulingana na makadirio ya uchaguzi mkuu wa Ujerumani uliofanyika Februari 23.
Try JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →