
Iddi Ssessanga
Articles
-
2 weeks ago |
dw.com | Iddi Ssessanga |Rashid Chilumba
14.06.202514 Juni 2025Waziri wa Ulinzi wa Israel ameionya Iran leo Jumamosi kuwa mji wake mkuu Tehran "utawaka moto" iwapo itaendelea kuvurumisha makombora ya masafa kuelekea Israel. https://p.dw.com/p/4vu3pWaziri Israel Katz ameyatoa matamshi hayo baada ya kufanya tathmini ya uharibifu uliofanywa na mashambulizi ya makombora ya masafa yaliyofyetuliwa na Iran usiku wa Ijumaa na Jumamosi alfajiri kujibu hujuma nzito za Israel dhidi ya miundombinu yake ya nyuklia na vituo vya kijeshi.
-
2 weeks ago |
dw.com | Iddi Ssessanga |Rashid Chilumba
14.06.202514 Juni 2025Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema nchi yake itashambulia kila "eneo na shabaha" ya utawala wa Iran. https://p.dw.com/p/4vu3pAmetoa matamshi hayo saa chache baada ya waziri wake wa ulinzi Israel Katz kuionya Iran kuwa mji wake mkuu "utawaka moto" iwapo itaendelea kuvurumisha makombora ya masafa kuelekea Israel. "Tutashambulia kila eneo, kila shabaha ya utawala wa Ayatollah (Ali Khamenei)," amesema Netanyahu katika ujumbe wa video ulitolewa siku ya Jumamosi.
-
2 weeks ago |
dw.com | Andreas Noll |Iddi Ssessanga
Alhamisi wiki iliyopita, miaka miwili tangu kupitishwa kwa mageuzi yenye utata ya kuongeza umri wa kustaafu, Bunge la Kitaifa la Ufaransa lilipiga kura kufuta mageuzi hayo. Hata hivyo, wakati habari ilizusha utata kisiasa kwa sababu chama cha siasa kali za National Rally kiliusadia upinzani wa mrengo wa kushoto kupata wingi katika kura hiyo, uamuzi huo haujakuwa na matokeo yoyote ya kisheria.
-
2 weeks ago |
dw.com | Jens Thurau |Iddi Ssessanga
08.06.20258 Juni 2025Ziara ya Kansela Friedrich Merz mjini Washington imepokelewa vyema nyumbani, huku wengi wakisifu mtindo mpya wa siasa unaotofautiana na ule wa watangulizi wake, Olaf Scholz na Angela Merkel. https://p.dw.com/p/4vcXnMtazamano wa wengi ulikuwa kwamba ameimudu vizuri: Kansela mpya wa Ujerumani, Friedrich Merz, amefanikisha ziara yake ya kwanza kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, bila mabishano makali wala dosari za kidiplomasia.
-
4 weeks ago |
dw.com | Jennifer Holleis |Iddi Ssessanga
Huenda hali ikaonekana tulivu kwa kiasi fulani wiki hii, lakini mji mkuu wa Libya magharibi, Tripoli, bado uko katika hali ya machafuko. Mapema mwezi Mei, ghasia zililipuka kati ya makundi yenye silaha na vikosi vya serikali baada ya Waziri Mkuu Abdul Hamid Dbeibah kutoa amri ya kuvunjwa kwa makundi ya wanamgambo, yakiwemo yale yenye ushawishi mkubwa kama Kikosi cha Msaada wa Ustawi (SSA). Kiongozi wa SSA aliuawa.
Try JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →