
Juma Issihaka
Tanzania Investigative Journalist at Mwananchi
Tanzania Investigative Journalist @MwananchiNews Awarded as the Excellent Journalist in Investigative Reporting Tanzania 2022 https://t.co/dawLwCLtgo
Articles
-
5 days ago |
thecitizen.co.tz | Juma Issihaka
Dar es Salaam. Opposition party ACT-Wazalendo has reaffirmed its openness to receiving politicians seeking a new political home, declaring it will remain a platform for reformists who feel sidelined within their current parties. The party stressed that new members would be welcomed and given equal opportunity to vie for various positions, provided they adhere to the party’s constitutional nomination procedures, just like existing members.
-
6 days ago |
mwananchi.co.tz | Juma Issihaka
Muktasari:Tayari kanuni hizo zimechapishwa kwenye gazeti la Serikali hivyo, kuashiria kuwa ni rasmi kuanza kutumika na hatua zingine za uchaguzi kuendelea. Dar es Salaam. Sasa rasmi, Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za mwaka 2025, zitaanza kutumika baada ya kuchapishwa katika Gazeti la Serikali. Kuanza kutumika kwa kanuni hizo kwa mujibu wa wataalamu wa sheria, kunakwenda sambamba na sharti la kutohojiwa au kupingwa na yeyote hadi mahakama itakapobatilisha.
-
6 days ago |
mwananchi.co.tz | Juma Issihaka
Muktasari:Wakati kukiwa na wanasiasa waliopo njiapanda kutokana na misimamo ya vyama vyao, ACT Wazalendo imejipanga kuwapokea wote. Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimesema kuwa kilianzishwa kama chombo mbadala kwa wanamageuzi, hivyo kipo tayari kumpokea mwanasiasa yeyote atakayetaka kujiunga nacho. Sio kuwapokea tu, kimesema hata watakaotaka kugombea, watapewa nafasi kama wanachama wengine na kupitia michakato ya kikatiba ndani ya chama hicho.
-
6 days ago |
mwananchi.co.tz | Juma Issihaka
Muktasari:Kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe imetaka demokrasia itumike kuepuka Serikali isigeuzwe kuwa gulio la kuuza na kununua haki za wanyonge. Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza amewataka Watanzania kuhakikisha mwaka 2025, wanatumia fursa za kidemokrasia kufufua matumaini ya kujenga nchi ya haki na kutetea wanyonge.
-
1 week ago |
mwananchi.co.tz | Juma Issihaka
Muktasari:Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema kupatikana kwa uchaguzi wa amani kunahitaji juhudi. Dar es Salaam. Wakati vyama vya siasa vikiendelea na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amebainisha mambo matatu yanayopaswa kuzingatiwa ili kuhakikisha uchaguzi huo unafanyika kwa amani na kupata wawakilishi sahihi wa wananchi.
Try JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →Coverage map
X (formerly Twitter)
- Followers
- 10K
- Tweets
- 3K
- DMs Open
- Yes

Napenda @awamisammy anavyojibu hoja hasi dhidi ya media. Ni bahati mbaya wengine wamechagua kutomuelewa, lakini kila anachoeleza ni halisia. Chama, mtu binafsi na taasisi isitarajie iingie kwenye mgogoro kisha media iwe msuluhishi. Kwa sababu ni mgogoro media itaripoti kilichopo

Dr. Nchimbi is the right man for this run kwa experience ya siasa na ukomavu wa kiuongozi ndani ya chama chake. Lakini kwanini ni mapema hivi? Stay curious soon nitakuandikia kwa @MwananchiNews platforms

Dah! Startv mbona hivi na Odero wa watu 😂😂😂 https://t.co/IUWdYPqUxi