
Juma Issihaka
Tanzania Investigative Journalist at Mwananchi
Tanzania Investigative Journalist/ Awarded as the Excellent Journalist in Investigative Reporting Tanzania https://t.co/dawLwCLtgo
Articles
-
3 days ago |
mwananchi.co.tz | Juma Issihaka
Muktasari:Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amesema iwapo mwananchi anashindwa kupata mtandao fulani ajue kuwa Serikali imefanya namna kumlinda Mtanzania. Dar es Salaam. Wakati Serikali ikithibitisha kuzuia mitandao inayoenda kinyume na maadili ya nchi, wadau wa mawasiliano wamekosoa uamuzi huo, wakipendekeza mamlaka ijikite kudhibiti maudhui yasiyofaa na sio kuuzima mtandao husika.
-
4 days ago |
mwananchi.co.tz | Juma Issihaka
Jiji hilo linaloundwa na majimbo 12 ya uchaguzi, imekuwa kiu ya watu wengi kuusaka ubunge kupitia majimbo hayo hasa Kawe, Kinondoni, Chamazi na Kigamboni. Kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), mwaka 2022 Dar es Salaam ilikuwa na wakazi milioni 5.4 na ni mkoa unaokua kwa kasi zaidi nchini kwa asilimia 5.6 kwa mwaka. Jiji hilo linakadiriwa kuwa na zaidi ya asilimia 12 ya wapiga kura wote nchini.
-
4 days ago |
mwananchi.co.tz | Juma Issihaka
Muktasari:Wanasiasa wawili waliokuwa sehemu ya wanamuungano wa G55 wamehamia chama cha ACT Wazalendo, badala ya Chaumma kama ilivyofanywa na wenzao. Dar es Salaam. Baada ya kundi la waliokuwa makada wa Chama cha Demokarasia na Maendeleo (Chadema) lililounda G55, kutimkia katika Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), wawili kati yao wamebadili njia na kujiunga na ACT Wazalendo.
-
5 days ago |
thecitizen.co.tz | Juma Issihaka
Dar es Salaam. The government has de-registered the Glory of Christ Tanzania Church (Ufufuo na Uzima), founded and led by Kawe MP Mr Josephat Gwajima, citing violations of the Societies Act through politically charged sermons allegedly intended to incite public discord.
-
6 days ago |
mwananchi.co.tz | Juma Issihaka
Muktasari:Baadhi ya wakuu wa mikoa, wilaya, makatibu tawala mikoa na wilaya, wakuu wa mashirika na wasomi wajipanga kupigana vikumbo kutaka ubunge Dar es Salaam. Kuna nini bungeni? Ni swali linaloakisi hisia za watu wengi wanaoshangazwa na wimbi la Watanzania wanaojitokeza kuwania ubunge katika chaguzi za miaka ya karibuni.
Try JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →Coverage map
X (formerly Twitter)
- Followers
- 10K
- Tweets
- 3K
- DMs Open
- Yes

Napenda @awamisammy anavyojibu hoja hasi dhidi ya media. Ni bahati mbaya wengine wamechagua kutomuelewa, lakini kila anachoeleza ni halisia. Chama, mtu binafsi na taasisi isitarajie iingie kwenye mgogoro kisha media iwe msuluhishi. Kwa sababu ni mgogoro media itaripoti kilichopo

Dr. Nchimbi is the right man for this run kwa experience ya siasa na ukomavu wa kiuongozi ndani ya chama chake. Lakini kwanini ni mapema hivi? Stay curious soon nitakuandikia kwa @MwananchiNews platforms

Those what we're witnessing kwa CDM, ni matokeo ya ukweli kwamba, si utamaduni wa siasa za Tanzania kuona ushindani wa ndani ya vyama. Ikitokea ndio tunashuhudia huyu anamwaga mboga huyu anamwaga ugali. Tukiuona umoja baada ya uchaguzi CDM kitakuwa chama cha mfano Afrika.