Mwananchi

Mwananchi

Mwananchi is the top Swahili daily newspaper in Tanzania, known for its reliability and comprehensive coverage of various topics relevant to life in the country. It boasts a readership of more than 2 million people each day, reaching all major urban areas. With a daily circulation of between 50,000 and 60,000 copies, Mwananchi stands out as the most trusted and widely read Swahili newspaper in Tanzania.

National
Swahili
Newspaper

Outlet metrics

Domain Authority
51
Ranking

Global

#152823

Tanzania, United Republic of

#106

Category

N/A

Traffic sources
Monthly visitors

Articles

  • 4 days ago | mwananchi.co.tz | Beatrice Materu

    Muktasari: Siku za hivi karibuni, msanii wa muziki nchini Zee Cuty na nyota wa muziki wa pop kutoka Canada, Justin Bieber waliteka mitandao ya kijamii kwa mijadala kuhusu changamoto za afya ya akili zinazowakabili. Dar es Salaam. Siku za hivi karibuni, msanii wa muziki nchini Zee Cuty na nyota wa muziki wa pop kutoka Canada, Justin Bieber waliteka mitandao ya kijamii kwa mijadala kuhusu changamoto za afya ya akili zinazowakabili.

  • 1 week ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka

    Muktasari: Mwanza inachangia asilimia 7.2 ya Pato la Taifa (GDP), ikiwa katika nafasi ya pili baada ya Dar es Salaam, inayochangia asilimia 14. Mwanza. Licha ya kuwa mkoa wa pili kwa kuchangia pato la Taifa (GDP) kwa asilimia 7.2, nyuma ya Dar es Salaam inayoongoza kwa asilimia 14, Serikali imeweka mkakati mahsusi wa kuufanya Mkoa wa Mwanza kuwa kinara wa uchumi nchini.

  • 1 week ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka

    Muktasari: Kuzinduliwa kwa daraja hilo, kunafungua fursa ya kuanza kutumika na Rais Samia Suluhu Hassan ndiye aliyeongoza ruhusa ya magari kupita katika daraja hilo Mwanza. Sasa ni rasmi, ndiyo maneno unayoweza kuyatumia unapoelezea hatua ya Serikali ya Tanzania kukamilisha na kuzindua Daraja la John Pombe Magufuli, lililoanza kutekelezwa Februari 2020.

  • 1 week ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka

    Muktasari: Leo Alhamisi, ndiyo siku ya uzinduzi rasmi wa Daraja la JP Magufuli, katika eneo la Kigongo-Busisi mkoani Mwanza utafanywa na Rais Samia Suluhu Hassan. Mwanza. Achana na wanaokimbia mchaka mchaka kutoka huku kwenda kule, wanaocheza muziki, wanaoimba nyimbo za kizalendo mithiri ya vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), kitakachokuacha hoi ni idadi ya watu waliofurika eneo la mkutano kusubiri neno la uzinduzi wa Daraja la JP Magufuli.

  • 1 week ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka

    Muktasari: Daraja la JPM lina urefu wa kilomita 3.2 na limegharimu Sh716.3 bilioni zilizotolewa na Serikali, na linatajwa kuwa ufunguo wa uchumi wa Mwanza na maeneo ya jirani. Mwanza. Yalianza matarajio, ikafuata mipango, kisha mikakati na utekelezaji, hatimaye, Daraja la Kigongo-Busisi maarufu daraja la JPM limekamilika na kesho litaanza rasmi kutumika.