Mwananchi

Mwananchi

Mwananchi is the top Swahili daily newspaper in Tanzania, known for its reliability and comprehensive coverage of various topics relevant to life in the country. It boasts a readership of more than 2 million people each day, reaching all major urban areas. With a daily circulation of between 50,000 and 60,000 copies, Mwananchi stands out as the most trusted and widely read Swahili newspaper in Tanzania.

National
Swahili
Newspaper

Outlet metrics

Domain Authority
51
Ranking

Global

#125694

Tanzania, United Republic of

#110

Category

N/A

Traffic sources
Monthly visitors

Articles

  • 3 days ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka

    Muktasari:Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amesema iwapo mwananchi anashindwa kupata mtandao fulani ajue kuwa Serikali imefanya namna kumlinda Mtanzania. Dar es Salaam. Wakati Serikali ikithibitisha kuzuia mitandao inayoenda kinyume na maadili ya nchi, wadau wa mawasiliano wamekosoa uamuzi huo, wakipendekeza mamlaka ijikite kudhibiti maudhui yasiyofaa na sio kuuzima mtandao husika.

  • 3 days ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka

    Jiji hilo linaloundwa na majimbo 12 ya uchaguzi, imekuwa kiu ya watu wengi kuusaka ubunge kupitia majimbo hayo hasa Kawe, Kinondoni, Chamazi na Kigamboni. Kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), mwaka 2022 Dar es Salaam ilikuwa na wakazi milioni 5.4 na ni mkoa unaokua kwa kasi zaidi nchini kwa asilimia 5.6 kwa mwaka. Jiji hilo linakadiriwa kuwa na zaidi ya asilimia 12 ya wapiga kura wote nchini.

  • 4 days ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka

    Muktasari:Wanasiasa wawili waliokuwa sehemu ya wanamuungano wa G55 wamehamia chama cha ACT Wazalendo, badala ya Chaumma kama ilivyofanywa na wenzao. Dar es Salaam. Baada ya kundi la waliokuwa makada wa Chama cha Demokarasia na Maendeleo (Chadema) lililounda G55, kutimkia katika Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), wawili kati yao wamebadili njia na kujiunga na ACT Wazalendo.

  • 5 days ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka

    Muktasari:Baadhi ya wakuu wa mikoa, wilaya, makatibu tawala mikoa na wilaya, wakuu wa mashirika na wasomi wajipanga kupigana vikumbo kutaka ubunge Dar es Salaam. Kuna nini bungeni? Ni swali linaloakisi hisia za watu wengi wanaoshangazwa na wimbi la Watanzania wanaojitokeza kuwania ubunge katika chaguzi za miaka ya karibuni.

  • 1 week ago | mwananchi.co.tz | Imani (Wema) Makongoro

    Muktasari:Mchakato wa maandalizi tayari umeanza na halmashauri zimeanza kuhakiki upya taarifa za majengo, zikishirikisha wenyeviti wa Serikali za mitaa, watendaji na hata walimu katika baadhi ya maeneo Dar es Salaam. Baada ya miaka minne ya ukusanyaji wa kodi ya majengo kupitia mfumo wa ununuzi wa umeme kwa kutumia mashine za Luku, inaripotiwa kuwa Serikali ipo katika hatua za mwisho za kubadilisha mfumo huo.