Mwananchi
Mwananchi is the top Swahili daily newspaper in Tanzania, known for its reliability and comprehensive coverage of various topics relevant to life in the country. It boasts a readership of more than 2 million people each day, reaching all major urban areas. With a daily circulation of between 50,000 and 60,000 copies, Mwananchi stands out as the most trusted and widely read Swahili newspaper in Tanzania.
Outlet metrics
Global
#125694
Tanzania, United Republic of
#110
Category
N/A
Articles
-
6 days ago |
mwananchi.co.tz | Juma Issihaka
Muktasari:Tayari kanuni hizo zimechapishwa kwenye gazeti la Serikali hivyo, kuashiria kuwa ni rasmi kuanza kutumika na hatua zingine za uchaguzi kuendelea. Dar es Salaam. Sasa rasmi, Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za mwaka 2025, zitaanza kutumika baada ya kuchapishwa katika Gazeti la Serikali. Kuanza kutumika kwa kanuni hizo kwa mujibu wa wataalamu wa sheria, kunakwenda sambamba na sharti la kutohojiwa au kupingwa na yeyote hadi mahakama itakapobatilisha.
-
6 days ago |
mwananchi.co.tz | Juma Issihaka
Muktasari:Wakati kukiwa na wanasiasa waliopo njiapanda kutokana na misimamo ya vyama vyao, ACT Wazalendo imejipanga kuwapokea wote. Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimesema kuwa kilianzishwa kama chombo mbadala kwa wanamageuzi, hivyo kipo tayari kumpokea mwanasiasa yeyote atakayetaka kujiunga nacho. Sio kuwapokea tu, kimesema hata watakaotaka kugombea, watapewa nafasi kama wanachama wengine na kupitia michakato ya kikatiba ndani ya chama hicho.
-
6 days ago |
mwananchi.co.tz | Juma Issihaka
Muktasari:Kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe imetaka demokrasia itumike kuepuka Serikali isigeuzwe kuwa gulio la kuuza na kununua haki za wanyonge. Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza amewataka Watanzania kuhakikisha mwaka 2025, wanatumia fursa za kidemokrasia kufufua matumaini ya kujenga nchi ya haki na kutetea wanyonge.
-
1 week ago |
mwananchi.co.tz | Juma Issihaka
Muktasari:Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema kupatikana kwa uchaguzi wa amani kunahitaji juhudi. Dar es Salaam. Wakati vyama vya siasa vikiendelea na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amebainisha mambo matatu yanayopaswa kuzingatiwa ili kuhakikisha uchaguzi huo unafanyika kwa amani na kupata wawakilishi sahihi wa wananchi.
-
1 week ago |
mwananchi.co.tz | Juma Issihaka |Imani (Wema) Makongoro
Muktasari:Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, amefanya mahojiano maalumu na waandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu uchaguzi na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Dar es Salaam. Jawabu la swali kuhusu mwafaka kati ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, linatafutwa chini ya usimamizi wa Jaji Joseph Warioba na wazee wenzake.
Mwananchi journalists
Contact details
Try JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →