Mwananchi

Mwananchi

Mwananchi is the top Swahili daily newspaper in Tanzania, known for its reliability and comprehensive coverage of various topics relevant to life in the country. It boasts a readership of more than 2 million people each day, reaching all major urban areas. With a daily circulation of between 50,000 and 60,000 copies, Mwananchi stands out as the most trusted and widely read Swahili newspaper in Tanzania.

National
Swahili
Newspaper

Outlet metrics

Domain Authority
51
Ranking

Global

#125694

Tanzania, United Republic of

#110

Category

N/A

Traffic sources
Monthly visitors

Articles

  • 2 days ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka

    Muktasari:Mgawanyo mpya wa majimbo ya uchaguzi na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) umezaa majimbo mapya nane, kufikisha jumla ya 272. Dar es Salaam. Utamu na uchungu, ndiyo maneno mafupi yanayoakisi kilichoelezwa na wadau wa siasa kuhusu matokeo ya uamuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kugawanya majimbo. Mgawanyo huo umesababisha kuzaliwa kwa majimbo mapya manane ya uchaguzi na hivyo, kufanya uchaguzi wa baadaye mwaka huu uhusishe jumla ya majimbo 272, Tanzania Bara na Zanzibar.

  • 2 days ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka

    Muktasari:Mgawanyo mpya wa majimbo ya uchaguzi na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) umezaa majimbo mapya nane, kufikisha jumla ya 272. Dar es Salaam. Utamu na uchungu, ndiyo maneno mafupi yanayoakisi kilichoelezwa na wadau wa siasa kuhusu matokeo ya uamuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kugawanya majimbo. Mgawanyo huo umesababisha kuzaliwa kwa majimbo mapya manane ya uchaguzi na hivyo, kufanya uchaguzi wa baadaye mwaka huu uhusishe jumla ya majimbo 272, Tanzania Bara na Zanzibar.

  • 3 days ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka |Imani (Wema) Makongoro

    Muktasari:Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya (94) atakumbukwa kama kiongozi aliyerejesha matumaini ya nchi katika nyakati ngumu. Mwili wake utazikwa kijijini kwake. Dar es Salaam. Umahiri wa uongozi katika nyakati ngumu kiuchumi, ni moja kati ya sifa nyingi zitakazokumbukwa daima katika utumishi wa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya (94) kwa nafasi mbalimbali alizohudumu.

  • 3 days ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka

    Muktasari:Januari 21, 2025, wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) walifanya uchaguzi wa viongozi mbalimbali ngazi ya Taifa, na Tundu Lissu akaibuka mshindi, akihitimisha safari ya miaka 21 ya uongozi wa Freeman Mbowe. Dar es Salaam. Licha ya uamuzi wa kukaa kimya kwa aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kuhusu yanayoendelea ndani ya chama hicho, kivuli chake kimeendelea kuwa mwiba wenye athari lukuki.

  • 6 days ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka

    Muktasari:Rais Samia Suluhu Hassan na Rais Daniel Chapo wa Msumbiji wamezungumzia masuala mbalimbali ikiwemo ya kiuchumi, miundombinu na usafirishaji. Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema uhusiano imara wa kidiplomasia na kihistoria kati ya Tanzania na Msumbiji hauakisi ushirikiano na uhusiano wa kiuchumi uliopo kati ya mataifa hayo.