Baraka Loshilaa's profile photo

Baraka Loshilaa

Articles

  • 1 week ago | thecitizen.co.tz | Julius Maricha |Juma Issihaka |Baraka Loshilaa

    Dar es Salaam. Chadema’s decision to throw down the gauntlet in a high-stakes political gamble, by boycotting elections, has shifted Tanzania’s political discourse into uncharted waters, prompting debates over the party’s long-term relevance—and even its future.

  • 1 week ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka |Baraka Loshilaa

    Muktasari:Chadema kimezuiwa kushiriki uchaguzi wa 2025 na chaguzi zote kwa miaka mitano kwa kutosaini kanuni za maadili, hali inayozua maswali juu ya mustakabali wake. Dar es Salaam. Sio swali tena kuhusu Chadema itashiriki au haitoshiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, kinachowatafakarisha wadau wa siasa kwa sasa ni mustakabali na hatima ya chama hicho katika mazingira ya kutoshiriki uchaguzi.

  • 2 weeks ago | mwananchi.co.tz | Imani (Wema) Makongoro |Baraka Loshilaa

    Muktasari:Kwa mujibu wa askari ha wa Usalama barabarani, wengi wa madereva wa Serikali wanaendesha magari kwa spidi kupitiliza, wanaongoza ‘ku-ovateki’ na hawatii amri za askari wa usalama barabarani. Dar es Salaam. Baraka Ludohela (32), ambaye amefungiwa leseni ya udereva kwa miezi mitatu, ni miongoni mwa madereva wa magari ya Serikali wanaotajwa kukaidi sheria za usalama barabarani.

  • 2 weeks ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka |Baraka Loshilaa

    Muktasari:Mjadala umeibuka kuhusu G55 ya sasa na ile ya mwaka 1993, wadau wakipinga jina hilo kutumika katika mazingira ya sasa, huku waasisi wa jina hilo wakionyesha mfanano wa harakati. Dar es Salaam. Wakati uamuzi wa watia nia wa ubunge wa Chadema wa kujiita G55 ukitajwa kuwakosea heshima waasisi wa jina hilo, aliyekuwa Katibu wa G55 ya mwaka 1993, Jenerali Ulimwengu amesema hakuna tatizo, huku akionyesha mfanano wa muktadha kati ya muungano wa sasa na wa zamani.

  • Jan 18, 2025 | mwananchi.co.tz | Baraka Loshilaa

    Muktasari:Uchaguzi uliompa ushindi Maasay kuwa katibu wa Bawacha umefanyika leo Januari 18, 2025 Mikocheni jijini Dar es Salaam Dar es Salaam. Pamela Maasay amechaguliwa kuwa Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) akimbwaga Catherine Ruge aliyeshindwa kutetea nafasi hiyo. Katika kinyanganyiro hicho Catherine alipata kura 34 sawa na asilimia 40, mgombea mwingine Esther Daffi akipata kura 15, Pamela akiibuka kidedea mbele ya washindani hao wawili kwa kura 37 sawa na asilimia 54.

Contact details

Socials & Sites

Try JournoFinder For Free

Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.

Start Your 7-Day Free Trial →