Articles

  • 1 week ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka |Imani (Wema) Makongoro

    Muktasari:Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, amefanya mahojiano maalumu na waandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu uchaguzi na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Dar es Salaam. Jawabu la swali kuhusu mwafaka kati ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, linatafutwa chini ya usimamizi wa Jaji Joseph Warioba na wazee wenzake.

  • 1 week ago | mwananchi.co.tz | Juma Issihaka |Imani (Wema) Makongoro

    Muktasari:Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, amefanya mahojiano maalumu na waandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu uchaguzi na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Dar es Salaam. Jawabu la swali kuhusu mwafaka kati ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, linatafutwa chini ya usimamizi wa Jaji Joseph Warioba na wazee wenzake.

  • 2 weeks ago | mwananchi.co.tz | Imani (Wema) Makongoro

    Muktasari:Inaelezwa ndoa inapofikia hatua ya kutoelewana wanandoa wanapaswa kutanguliza utu na kuweka mbele ustarabu, ikibidi wapewe muda wa kujitafakari na kila mmoja apate nafasi ya kuwa peke yake na si kutoleana lugha zisizo za staha. Dar es Salaam. Habari ya mjini kwenye mitandao ya kijamii kwa sasa ni kuhusu yanayoendelea katika ndoa ya mwanamichezo Haji Manara (Bugati) na mkewe Zaiylisa.

  • 2 weeks ago | mwananchi.co.tz | Imani (Wema) Makongoro

    Muktasari:Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kinatarajia kufanya mkutano wake mkuu Mei 8-10, 2025 jijini Arusha. Pamoja na mambo mengi wataangazia uchaguzi ujao wa Oktoba 2025. Dar es Salaam. Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimeibeba ajenda ya uchaguzi mkuu mwaka huu ikieleza kila hoja inayopigiwa kelele na pande mbili zinazokinzana kuhusu uchaguzi huo ina mantiki.

  • 2 weeks ago | mwananchi.co.tz | Imani (Wema) Makongoro

    Muktasari:Inashauriwa unapochoma dawa hiyo, usubiri kwa saa moja na nusu hadi saa mbili moshi na harufu ya dawa viishe ndipo uingie chumbani. Dar es Salaam. Wewe ni miongoni mwa wale wanaochoma dawa ya mbu na muda huo huo kupanda kitandani kulala yenyewe ikiendelea kutoa moshi? Kama ndivyo, basi unajiweka katika hatari ya kupata magonjwa ya pumu, kikohozi cha mara kwa mara na changamoto ya aleji kwa watoto.