Articles

  • 1 week ago | mwananchi.co.tz | Imani (Wema) Makongoro

    Muktasari:Mchakato wa maandalizi tayari umeanza na halmashauri zimeanza kuhakiki upya taarifa za majengo, zikishirikisha wenyeviti wa Serikali za mitaa, watendaji na hata walimu katika baadhi ya maeneo Dar es Salaam. Baada ya miaka minne ya ukusanyaji wa kodi ya majengo kupitia mfumo wa ununuzi wa umeme kwa kutumia mashine za Luku, inaripotiwa kuwa Serikali ipo katika hatua za mwisho za kubadilisha mfumo huo.

  • 2 weeks ago | mwananchi.co.tz | Imani (Wema) Makongoro

    Muktasari:Mpango wa Mafunzo ya Ufundi kwa Sekta ya Madini (IMTT) unalenga kuwapa vijana wa Kitanzania ujuzi unaohitajika katika migodi. Ulianzishwa mwaka 2009 ukilenga kukabiliana na uhaba wa mafundi mchundo (technician) waliobobea katika sekta ya madini. Dar es Salaam. Wakati migodi mingi nchini ikihamia kwenye uchimbaji wa chini ya ardhi, inaelezwa kuwa hatua hiyo imesababisha uhitaji wa wataalamu, huku uhitaji wa wataalamu hao (mafundi mchundo) wa kuendesha mitambo migodini ukiwa mkubwa.

  • 2 weeks ago | mwananchi.co.tz | Imani (Wema) Makongoro

    Muktasari:Tanzania hivi sasa ina mafundi sanifu 3,000 ambao wamesajiliwa na Bodi ya Wahandisi (ERB). Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema katika kuboresha sheria za ujenzi, wataingiza kipengere kitakachohitaji ili mtu apewe kibali cha kujenga, lazima awe na fundi sanifu mwenye cheti. Amesema taaluma hiyo inapaswa kuheshimika na kupata stahiki na heshima na si kila mtu kuona anaweza kuifanya.

  • 2 weeks ago | mwananchi.co.tz | Imani (Wema) Makongoro

    Muktasari:Akinadi sera zake Jumapili, Mei 18, 2025 mbele ya Bodi ya Utendaji ya Shirika la Afya Duniani (WHO) na Kamati ya Kanda ya Afrika katika kikao cha ana kwa ana jijini Geneva, Uswisi kwa ajili ya kumchagua Mkuu wa Kanda, profesa Janabi aligusia namna ambavyo Afrika inapaswa kuwa na viwanda vyake vya kuzalisha dawa na vifaa tiba. Dar es Salaam.

  • 2 weeks ago | thecitizen.co.tz | Imani (Wema) Makongoro

    Dar es Salaam. The Muhimbili National Hospital (MNH) – Mloganzila branch has commended the recent election of Prof Mohamed Janabi as Regional Director of the World Health Organization (WHO) for Africa, highlighting the win as a milestone for Tanzania. Prof Janabi secured the position after garnering 32 out of 46 votes cast by African member states, surpassing the required threshold of 24 votes.