Mwanaspoti
Outlet metrics
Global
#77041
Tanzania, United Republic of
#48
Category
N/A
Articles
-
1 week ago |
mwanaspoti.co.tz | Ibrahim Mussa
Muktasari:Sungu Mtata huenda unapokutana naye mtaani kama hujaambiwa ni bondia, basi siyo rahisi kukubali kutokana na nidhamu ya upole ambayo amekuwa nayo hata mwonekano wake licha ya kuwa na mwili uliojazia kwa mazoezi. KUTOKA Kibiti hadi Ikwiriri Mkoa wa Pwani, ndiyo mitaa ambayo bondia chipukizi wa ngumi za kulipwa kwenye uzani wa Super Walter, Ramadhan Mkwakwate maarufu zaidi kama Sungu Mtata ndiko anakotokea.
-
2 weeks ago |
mwanaspoti.co.tz | Ibrahim Mussa
Muktasari:Katika kada ya mchezo wa ngumi za kulipwa, baadhi ya mabondia mashuhuri waliowahi kuweka mizizi katika eneo hilo ni Mada Maugo, Dullah Mbabe pamoja na mkongwe, Said Mbelwa. CHANIKA jijini Dar es Salaam ni moja ya maeneo yenye watu wengi waliokuwa wakiishi katikati ya jiji hilo wakiwamo wanamichezo mbalimbali. Katika kada ya mchezo wa ngumi za kulipwa, baadhi ya mabondia mashuhuri waliowahi kuweka mizizi katika eneo hilo ni Mada Maugo, Dullah Mbabe pamoja na mkongwe, Said Mbelwa.
-
3 weeks ago |
mwanaspoti.co.tz | Imani (Wema) Makongoro
Muktasari:Maofisa habari hao kwa nyakati tofauti, wameingia kwenye sintofahamu na wakuu wa mikoa ya Mwanza, Said Mtanda na Paul Chacha wa Tabora huku Bodi ya Ligi ikionya utani wa mpira uliopitiliza. Wanasheria wamekuwa na mitazamo tofauti katika sakata la kukamatwa Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe huku wakigusia kilichowahi kutokea Mkuu wa Idara ya Habari wa Simba kwa Ahmed Ally.
-
3 weeks ago |
mwanaspoti.co.tz | Imani (Wema) Makongoro
Muktasari:Fid Q atafanya shoo ya saa tatu kwenye tamasha hilo ambalo msimu huu linafanyika kwenye ukumbi wa The Cask, Kawe Beach, Dar es Salaam. MWANAMUZIKI Fareed Kubanda (Fid Q) amewapa nafasi mashabiki wake kuchagua ngoma yake ipi aimbe Mei 2, 2025 atakapopanda kwenye jukwaa la Bongo Flava Honors. Fid Q atafanya shoo ya saa tatu kwenye tamasha hilo ambalo msimu huu linafanyika kwenye ukumbi wa The Cask, Kawe Beach, Dar es Salaam.
-
3 weeks ago |
mwanaspoti.co.tz | Ibrahim Mussa
Muktasari:Zugo ni miongoni mwa mabondia wanne pekee nchini waliofikia nyota nne tangu taifa hili lipate uhuru kutokana na mipango na mikakati yake kwenye mchezo huo inavyokwenda. UKIWATAJA mabondia wa Tanzania waliofikia rekodi ya hadhi ya nyota nne, basi jina la mtoto wa Zena Kipingu, mke wa Kanali mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Idd Kipingu ambaye ni maarufu kama Mama Zugo, basi jina la kijana wake, Abeid Keisy Kassy Zugo litakuwepo.
Contact details
Address
123 Example Street
City, Country 12345
Phone
+1 (555) 123-4567
Website
http://mwanaspoti.co.tzTry JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →