Mwanaspoti

Mwanaspoti

National
Swahili
Newspaper

Outlet metrics

Domain Authority
35
Ranking

Global

#77041

Tanzania, United Republic of

#48

Category

N/A

Traffic sources
Monthly visitors

Articles

  • 3 days ago | mwanaspoti.co.tz | Ibrahim Mussa

    Muktasari:Mbali hao lakini upande wa tuzo ya mwamuzi bora wa kike kwa mwaka 2023 ilienda pia katika mchezo wa ngumi za kulipwa kwa mwamuzi Pendo Njau kushinda tuzo hiyo. WIKIENDI iliyopita wadau wa michezo nchini walishuhudia msimu wa tatu wa tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT), kwa mwaka 2024 ambapo wanamichezo mbalimbali walifanikiwa kushinda.

  • 1 week ago | mwanaspoti.co.tz | Ibrahim Mussa

    Muktasari:Makundi hayo yalizalisha vijana wengi hodari akiwemo msanii wa Bongo Fleva, Msami aliyeimba Step by Step na ule wa Mabaya, huku mwingine akiwa Papaa Msai ambao wote kwa sasa wanaishi kupitia kuimba na kucheza muziki. MIAKA ya 2000 mwanzoni, vijana wa mitaa ya Temeke, Dar es Salaam walisumbua katika makundi ya kudansi kwenye matamasha waliyokuwa wakiyaandaa kupitia makundi.

  • 2 weeks ago | mwanaspoti.co.tz | Abdulrahman Sheriff

    Muktasari:Mchezo huo wa marudiano utafanyika kuanzia saa 10:00 jioni huku Simba ikiingia uwanjani ikiwa na deni la mabao 2-0 iliyoruhusu ugenini, huku ikihitaji ushindi wa 3-0 kubeba ubingwa. Mombasa: BAADHI ya viongozi na mashabiki wa soka kutoka Kenya, wameanza safari ya kwenda Zanzibar kuisapoti Simba ambayo kesho Jumapili itacheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, Jumapili.

  • 3 weeks ago | mwanaspoti.co.tz | Ibrahim Mussa

    Muktasari:Maono Ally Daudi ambaye ni mmoja kati vijana waliowahi kujaribu katika uvuvi kama ilivyo desturi ya vijana wengi wa Bagamoyo, akili na mapenzi yake yalikuwa katika mchezo wa ngumi za kulipwa.

  • 1 month ago | mwanaspoti.co.tz | Ibrahim Mussa

    Muktasari:Katika pambano hilo ambalo limeandaliwa na promosheni ya Mafia Boxing, litawakutanisha mabondia kama Twaha Kiduku, Idd Pialali, Dullah Mbabe, Loren Japhet, Tanzania one, Fadhili Majiha huku Mchanja Yohana akitararajia kutetea mkanda wake wa ubingwa wa WBO Global  dhidi ya bondia kutoka Namibia.

Contact details

Address

123 Example Street

City, Country 12345

Phone

+1 (555) 123-4567

Socials

Try JournoFinder For Free

Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.

Start Your 7-Day Free Trial →

Traffic locations