
Fatuma Bariki
Articles
-
1 week ago |
taifaleo.nation.co.ke | Rushdie Oudia |Fatuma Bariki
Habari Raila ataka Ruto alipe familia za Gen Z waliouawa ili nchi isonge mbele Na RUSHDIE OUDIA June 1st, 2025 Kusoma ni dakika: 1 WAZIRI Mkuu wa zamani Raila Odinga ametaka serikali ya Rais William Ruto ilipe familia za waliouawa na kuheruhiwa wakati wa maandamano ya Gen Z mwaka jana ili taifa liweze kusahau na kusonga mbele.
-
2 weeks ago |
taifaleo.nation.co.ke | Richard Munguti |Fatuma Bariki
Habari Oyamo aomba aondolewe lawama ya kumuuwa Sharon Na RICHARD MUNGUTI May 24th, 2025 Kusoma ni dakika: 2 MICHAEL Oyamo, mshukiwa wa pili katika mauaji ya kinyama ya mwanafunzi wa chuo kikuu Sharon Otieno miaka minane iliyopita alikamilisha tetezi zake huku akiomba mahakama kuu imwondolee lawama. Sharon aliuawa pamoja na mtoto wake aliyekuwa kuzaliwa kwa kudungwa kwenye kitovu na fito ya chuma kikatokea upande wa mgongo. Walikufa papo hapo.
-
2 weeks ago |
taifaleo.nation.co.ke | Sammy Waweru |Fatuma Bariki
SEKTA ya ufugaji wa ng’ombe wa maziwa nchini imepigwa jeki kufuatia kuzinduliwa kwa kiinitete (embryo) kipya cha bridi ya ng’ombe aliyeboreshwa kutoka Brazil. Bridi hiyo ya ng’ombe inajulikana kama Girolando, na imekuwa Kenya kwa miaka michache. Hatua ya sekta ya ng’ombe wa maziwa kupigwa jeki, inatokana na kuletwa nchini kwa viinitete 350 vya Girolando kupitia Makongi Agri Limited na kampuni dada, Indicus Genetics, kwa ushirikiano na Ubalozi wa Brazil nchini Kenya.
-
3 weeks ago |
taifaleo.nation.co.ke | Elvis Ondieki |Fatuma Bariki
WAKENYA, hasa wanawake, wanaoajiriwa wajakazi nchini Saudi Arabia wanapoendelea kusimulia mateso wanayopitia, ripoti mpya ya Amnesty International imefichua mzizi wa janga hili ambao ni mfumo wa kafala. Mfumo huu ambao unampa mwajiri mamlaka ya kuwa mlezi wa kisheria wa mfanyakazi, unafanana kwa karibu na biashara ya utumwa iliyoendeshwa kutoka Pwani ya Afrika Mashariki karne zilizopita. Ripoti hiyo inaeleza mateso ya wanawake 72 Wakenya waliorejea nchini kati ya mwaka wa 2020 na 2024.
-
1 month ago |
taifaleo.nation.co.ke | Kalume Kazungu |Fatuma Bariki
Makala Vijiji Lamu wakazi hawatumii simu za mkononi miaka 60 tangu uhuru Na KALUME KAZUNGU April 22nd, 2025 Kusoma ni dakika: 2 ZAIDI ya wakazi 20,000 wa karibu vijiji 10 vya Lamu wameikashifu serikali na kampuni zinazohusika na mawasiliano nchini kwa kuwatelekeza.
Try JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →