
Fatuma Bariki
Articles
-
3 weeks ago |
taifaleo.nation.co.ke | Kalume Kazungu |Fatuma Bariki
Makala Vijiji Lamu wakazi hawatumii simu za mkononi miaka 60 tangu uhuru Na KALUME KAZUNGU April 22nd, 2025 Kusoma ni dakika: 2 ZAIDI ya wakazi 20,000 wa karibu vijiji 10 vya Lamu wameikashifu serikali na kampuni zinazohusika na mawasiliano nchini kwa kuwatelekeza.
-
3 weeks ago |
taifaleo.nation.co.ke | Richard Munguti |Fatuma Bariki |Labaan Shabaan
Makala Mahakama yaruhusu watumishi wa umma wauze pombe Na RICHARD MUNGUTI, LABAAN SHABAAN April 20th, 2025 Kusoma ni dakika: 2 SERIKALI imepata pigo baada ya mahakama kuu kuharamisha marufuku ya kuzuia watumishi wa umma wakiwemo maafisa wa polisi, watumishi katika Halmashauri ya Ukadiriaji Ubora wa Bidhaa (Kebs) na Mamlaka ya Mapato (KRA) kuwezekeza katika biashara ya pombe.
-
2 months ago |
taifaleo.nation.co.ke | Mwangi Muiruri |Fatuma Bariki
Jamvi La Siasa Uhusiano tata wa Chebukati na Ruto, Uhuru na Raila Na MWANGI MUIRURI February 23rd, 2025 Kusoma ni dakika: 2 IWAPO aliyekuwa mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati – aliyeaga dunia Alhamisi, Februari 20, akiwa na umri wa miaka 63 – angerejea maisha yake, kuna uwezekano kwamba hangechagua kuongoza tena tume hiyo.
-
Feb 12, 2025 |
taifaleo.nation.co.ke | David Muchunguh |Fatuma Bariki
Makala Kampuni ya bwanyenye aliyehusishwa na SHA yahusika na masaibu ya bima ya walimu Na DAVID MUCHUNGUH February 12th, 2025 Kusoma ni dakika: 2 JAYESH Umesh Saini ndiye mmiliki wa Medical Administrators (K) Ltd (MAKL) na Bliss Healthcare (K) Ltd, ambazo zinahusishwa na utata wa bima ya matibabu ya walimu ya kima cha Sh55 bilioni, Taifa Leo inaweza kufichua.
-
Feb 11, 2025 |
taifaleo.nation.co.ke | Geoffrey Ondieki |Fatuma Bariki
Habari za Kitaifa Majangili waua afisa wa magereza, waachilia mahabusu wanane hatari Na GEOFFREY ONDIEKI February 11th, 2025 Kusoma ni dakika: 2 MAAFISA wa usalama kutoka kwa Kitengo cha Kupambana na fujo (GSU) na Jeshi la Ulinzi la Kenya katika Kaunti ya Samburu, wanawasaka majangili waliompiga risasi na kumuua afisa wa magereza kabla ya kusaidia wafungwa wanane kutoroka.
Try JournoFinder For Free
Search and contact over 1M+ journalist profiles, browse 100M+ articles, and unlock powerful PR tools.
Start Your 7-Day Free Trial →